Msaada umuhimu wa XHTML

Msaada umuhimu wa XHTML

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
Naombeni mniambie lengo la hii kitu!
Ina strength gani zaid ya normal HTML?
Naomba mniwekee na web kadhaa zilizotengenezwa na XHTML.
 
xhtml ni familia ya html lakini ilipo tokea ni kwenye lugha ya xml ampayo ni moja ya lugha iliyotaka kufikia html5 kutokana na kuwa na kahuwezo ambapo kanaweza kutumika sana bila kuitaji css na java script kama html inavo taka
 
HTML ni XHTML, usijichanganye na hizi terms.
XHTML unaweza ita predecessor ya HTML5, yaani ilikua inatumika kuanzia mwaka 2000, so sites zote unazozijua wewe zina XHTML, tags za kawaida kama <div></div> e.t.c HTML5 imeongezewa features baadhi kama <canvas> <video>.
So hata ukiwa unasoma hutoona utofauti, its the same thing.
 
HTML ni XHTML, usijichanganye na hizi terms.
XHTML unaweza ita predecessor ya HTML5, yaani ilikua inatumika kuanzia mwaka 2000, so sites zote unazozijua wewe zina XHTML, tags za kawaida kama <div></div> e.t.c HTML5 imeongezewa features baadhi kama <canvas> <video>.
So hata ukiwa unasoma hutoona utofauti, its the same thing.
mbina kunasehemu nimesoma wanasema XHTML ilibuniwa ili ku compete na HTML lakini hawakufikia hata nusu, so hii hali iliwafanya washirikiane na developer wa HTML lakin baadae tena hawa watu wa XTHML walitengana tena, pia XHTML ni case sensitive sana na maneno yake yanapaswa kupangwa vizur .
HTML and XHTML
 
xhtml ni familia ya html lakini ilipo tokea ni kwenye lugha ya xml ampayo ni moja ya lugha iliyotaka kufikia html5 kutokana na kuwa na kahuwezo ambapo kanaweza kutumika sana bila kuitaji css na java script kama html inavo taka
nashukuru
 
Back
Top Bottom