SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Hellow wanajamii wenzangu wataalamu!!
Tatizo langu ni Umeme wa tanesco kuwa mdogo, nadhani ni eneo zima ninaloishi so hii inanipashida sana kwa vifaa vyangu vya umeme.
Nina flat tv 32 inch sony imeungua mara tatu nikaambiwa ninunue LOW VOTLAGE STABLIZER 100v to 270v. tatizo bado hadi stablizer inachemsha...inawakaa sometime inazima yaani inasaidia isiungue tena ila tatizo bado lipo.
so naombeni mawazo yenu nifanyeje kuhusu umeme mdogo wa tanesco au ninunue kifaa gani maana hadi tv guard haiwaki.
Any solution ,Advice will be highly appreciated
Tatizo langu ni Umeme wa tanesco kuwa mdogo, nadhani ni eneo zima ninaloishi so hii inanipashida sana kwa vifaa vyangu vya umeme.
Nina flat tv 32 inch sony imeungua mara tatu nikaambiwa ninunue LOW VOTLAGE STABLIZER 100v to 270v. tatizo bado hadi stablizer inachemsha...inawakaa sometime inazima yaani inasaidia isiungue tena ila tatizo bado lipo.
so naombeni mawazo yenu nifanyeje kuhusu umeme mdogo wa tanesco au ninunue kifaa gani maana hadi tv guard haiwaki.
Any solution ,Advice will be highly appreciated