Riba sio biashara. Tehe tehe misaafu hii raha sana. Unanunua kitu 200 unauza 220 sio dhambi,ila ukikopa 200 ukirudisha 220 ni dhambi. etii tofauti ni kwamba hii ni riba ile ni faida ha ha ha.
Ingekuwa ni rahisi hivyo hata muulizaji asingeuliza !
Acha mzaha na taaluma za watu Totos Boss
Mimi nitaelewa vizuri kama benki itakuwa inachukua bidhaa kiwandani na kuuza bei ya sokoni au kuagiza magari japani na kuuza bei ya showroom. Vinginevyo bado nitakuwa na mashaka.
Na vipi kuhusu huo mfumo wa kugawana faida huwa inakuwa kuwaje?
Sa faida Si Ndo RIBA
Asante sana. Nikuweke sawa kuwa si kwamba unakichwa ngumu hapana. Iko hiv...lazma tukubaliane kuwa hapa sheria inayotumika hapa ni islamic...ambayo inatafsri mambo tofaut na common law au angalau kwa jinsi tulivozoea. Sasa basi kwa mujib wa sharia...hela siyo commodity by itself. Ni means of exchanging value of commodity. Kwa maana hyo huwez kumpa mtu hela halafu arudishe na nyngeza kisha uite faida...kwa mujib ya islamic law itaitwa riba. Kurejea mfano wa gari ...hapa shida yako si hela ni gari....ila muuzaji wa gari pale befoward anauza mil 10. Weww huna mil kumi ila kuna muuzaji mwingine anasema ntakuzia gari hilo hilo...ila ntaweka faida kiasi fulani. Huyu muuzaji wa pili anakwambia nafuu ntakayokupa ni weww utanilipa polepole...sasa hapo huwez kusema ni riba. Labda niulze swali unapoenda kununua kibiriti kwa mangi yeye kaweka faida tayri je utakuwa umelipa riba?! Bila shaka hapana. Kwhyo sasa fact iko hiv...kwa islm bank ni lazma pawe na mali katikati..si swala la pesa kwa pesa pekee.
Really? Profit na interest ni kitu kimoja?
Many practices of Islam are illogical. Kwa hiyo kununua kitu kwa 10mil na kumuuzia muislamu kwa 15mil ni hasara kuliko kumkopesha muislamu 10mil ili baadaye anirudishie 11mil pamoja na riba?
Muhamady kawaua sana hawa jamaa
Ndio maana waislamu wanadanganywa karibia kila siku
Sababu ni nyingi, kama vile unapomwagizia mchuuzi kesho akuletee samaki wakati ferry unapajua, au chinga akuletee kiatu aina fulani wakati vinapouzwa unapajua.
Vile vile, dalali hanunui ili akauze. Anachofanya ni kuwakutanisha muuzaji na mteja au umpe hela yeye akakununulie. Tofauti na anayenunua kwa pesa zake ili auze (anaitwa mfanyabiashara).
Tafauti na wanavyofanya hao wanaojiita Islami banking na machinga ni kwamba: Machinga huenda kununua bidhaa kwanza kabla ya hata kumjuwa mnunuzi wake lkn Islami banking wanasubiri mtu aje na shida zake ndio waende kununua halafu waje wamuuzie kwa gharama. Swali la msingi ni kwa nini hao wanaojiita Islami banking wasiwe na show rooms za magari wenyewe? kwa nini wasiwe na viwanda vya kufyatulia matufali vyao wenyewe? kwa nini wasiwe na maduka ya vifaa vya ujenzi vyao wenyewe? Hili swali linahitaji uelewa mpana na tafakuri ya kina. Inaelekea kuna ujanja ujanja tu ktk hizi zinazoitwa Islami banking. Mimi pia ni muislam lakini bado nina mashaka nazo.
Asante sana....naomba niulize swali dogo. Hiv kwann kijana wa miaka 17 akifanya ngona na binti say wa miaka 15 kisheria haisemwi kambaka...wakati huo kama kijana angekuwa na miaka 18 katika sheria angesemwa amebaka wakati tendo ni lilelile??
Au kwann wanandoa wakifanya ngono itaitwa tendo la ndoa na kinyume chake ni zinaa?! There is diff...that is a fact.
Nenda kwa wafanyakazi waulize waliokopa kwenye taasisi zinazochaji compaund interest then uje hapa useme kuna tofaut au lah!!
Asante sana. Riba ni halali kwa wasiokuwa na dini tu. Ukristo, Uislam na hata juadism unapinga riba kabsa....! Soma ndugu...soma...!
Ikumbukwe kuwa faida inayowekwa ni kitu pande mbili zinakubaliana kiwango. Na mtu anachoice yake. Riba itabaki kuwa riba na faida itabaki kuwa faida. Misingi ya uchumi wa marekani iliporomoka sana 2008 sababu kubwa ni kuwa ulijengwa katika misingi ya riba.
Kwa muislamu ukisema kitu kichafu kwa kiswahili unaitwa ------ na kitu hichohicho ukikisema kwa kiarabu unaonekana shujaa.......
Uislam is a very complicated ideology na hainaga logic
Habari wana Jf.
Kwa mwenye kujua, ninaomba anifafanulie namna benki zinazoendeshwa kwa kufuata misingi ya kiislamu (Islamic Banking) zinavyoendeshwa.
Zaidi ni jinsi gani mikopo hutolewa na namna gani mikopo hiyo hurudishwa.
Ningekuwa karibu, ningeweza kutembelea matawi yao kupata ufafanuzi, lakini nipo huku Kyerwa mkoani Kagera. Na nilipopitia ktk website za mabenki hayo, ufafanuzi walioutoa sikuupata vema.
Nitashukuru kama pia nitapata msaada wa mchango kutoka kwa watu waliowahi kukopa katika mabenki yanayoendeshwa kwa taratibu za Kiislamu hapa nchini.
Nawasilisha.
Nakutakieni Baraka za mwezi mtukufu wa Ramadhan ziwe juu yenu.
Kweli ni raha sana....ila raha zaidi ni pale utakapoelewa hizi falsafa zinafanyaje kazi hasa...napendekeza hebu jarib kufanya kautafit kidogo....tu..halafu njoo ushare hapa....karibu
Mkuu nifanye utafiti gani tena hapo? Mimi mara kadhaa nimefuatilia credit policy ya KUTAYBA taasisi ile kiislamu. Nachelea kusema kuwa mmbo yanabadirika wakati,,na mifumo pia. Leo hii chini ya mfumo wa soko huria kilichokatazwa ndio kinachofanyika.
Ndio maana waislamu wanadanganywa karibia kila siku
aloycious, Jile79, MR UNINFORMEDRiba sio biashara. Tehe tehe misaafu hii raha sana. Unanunua kitu 200 unauza 220 sio dhambi,ila ukikopa 200 ukirudisha 220 ni dhambi. etii tofauti ni kwamba hii ni riba ile ni faida ha ha ha.