Msaada: TV yangu imezimika ghafla

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,455
29,134
Kwema Wakuu,

TV Yangu imezima tu Ghafla, na haiwaki kwa button yake wala kwa remote. Aina ni Samsung UA46EH5000 . Nimewaza sijui nipeleke kwa fundi gani maana mafundi wa mtaani nao hawaaminiki. Wanaweza kua sio wataalamu sana wakaishia kuongezea Ugonjwa. Labda kuna member humu anaemjua fundi mzuri wa hizi vitu?
 
Angalia kama taa ya standby anawaka bonyeza batan ya kuwashiwa kwenye rimot kwenye tv bonyeza bonyez batan kama haiwaki huwenda kuna tatizo ndani mfano kama ni flat huenda ikawa taa zimeungua kama ni chogo huenda ikawa kuna Transistor za kutanua mwanga zimekufa.

Na kama taa ya standbay haiwaki Basi power supply ina shida icheki waya inayotoka kwenye Extesion au fungua ndani cheki fuse ila kama wewe sio fundi ishia hapo kwenye kucheki Conection ya Waya tu. Kupeleka kwa fundi ni muhimu tu maana sasa kama wewe huwezi utafanyeje. Kikubwa cheki hezo vitu vya awali nilizokuambia. Ila kwa msaa zaidi je tv yako ni flat au Chogo? Pili Inawaka kale kataa fulani cha standbay au haiwaki. Na tatu kama ni fulat inatumia adapta kama ya akina azam au direct. Kama ina adapta yaani power supply ya nje jaribu kubadili hio adapta ila sana sana kama haiwaki hio taa ya stabay au kama ina deep deep
 
Angalia kama taa ya standby anawaka bonyeza batan ya kuwashiwa kwenye rimot kwenye tv bonyeza bonyez batan kama haiwaki huwenda kuna tatizo ndani mfano kama ni flat huenda ikawa taa zimeungua kama ni chogo huenda ikawa kuna Transistor za kutanua mwanga zimekufa.

Na kama taa ya standbay haiwaki Basi power supply ina shida icheki waya inayotoka kwenye Extesion au fungua ndani cheki fuse ila kama wewe sio fundi ishia hapo kwenye kucheki Conection ya Waya tu. Kupeleka kwa fundi ni muhimu tu maana sasa kama wewe huwezi utafanyeje. Kikubwa cheki hezo vitu vya awali nilizokuambia. Ila kwa msaa zaidi je tv yako ni flat au Chogo? Pili Inawaka kale kataa fulani cha standbay au haiwaki. Na tatu kama ni fulat inatumia adapta kama ya akina azam au direct. Kama ina adapta yaani power supply ya nje jaribu kubadili hio adapta ila sana sana kama haiwaki hio taa ya stabay au kama ina deep deep
TV Ni Flat,
Standby inawaka,
Haitumii adapter, bali ni waya tu straight to Extension,
 
Kama ni hivo na basi taa huenda ndio zimeungua bonyeza batan nyekundu kwenye rimote kama itaswitch ujue kuna shida kwenye Oslation lazima utafute fundi
 
Kama ni hivo na basi taa huenda ndio zimeungua bonyeza batan nyekundu kwenye rimote kama itaswitch ujue kuna shida kwenye Oslation lazima utafute fundi
Nimewasha kwa Remote still imekataa. Nimempigia mtaalamu mmoja nimeunganishiwa, nikamuelezea kila kitu, kaniambia tatizo linaweza kua Power Supply Board, kwamba inapitisha Moto mdogo.

So nitabeba nimpelekee
 
Nimewasha kwa Remote still imekataa. Nimempigia mtaalamu mmoja nimeunganishiwa, nikamuelezea kila kitu, kaniambia tatizo linaweza kua Power Supply Board, kwamba inapitisha Moto mdogo.

So nitabeba nimpelekee
Power supply mara nyingi haiwaki taa ya standby ila kwa kuwa unapeleka kwa fundi basi ila sehemu kubwa huwa ni taa. Sema ipeleke kwanza itajulikana zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom