Mo pal-mo
Senior Member
- Jan 16, 2021
- 176
- 243
Ni Tv flat screen , mwanzo ilkuwa vizuri tuu Ila saivi nikiiwasha kwa kutumia remote control kamanilivyokuwa nafanya mwanzo. Saivi ile rangi ya taa nyekundu ilokuwa inageuka kuwa bluu baada ya kubofya power button kwenye remote na kuruhusu tv kuwaka Sasa imegoma.
Nikibofya power button bado tv haiwaki,kwa anayejua namna ya kutatua naomba MSAADA.
Nikibofya power button bado tv haiwaki,kwa anayejua namna ya kutatua naomba MSAADA.