msaada tutani

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
ninaomba msaada; kama kompyuta inatumia 'operating systems' mbili mfano Linux na XP, sasa nataka kutoa Linux nibakie natumia XP nifanyeje? nitaitoa vipi hiyo Linux? je, inatakiwa kufomati kila kitu? nifanye simple 'uninstall' kutoka katika installed programmes au inakuwaje wadau???? natanguliza shukrani!
 
ninaomba msaada; kama kompyuta inatumia 'operating systems' mbili mfano Linux na XP, sasa nataka kutoa Linux nibakie natumia XP nifanyeje? nitaitoa vipi hiyo Linux? je, inatakiwa kufomati kila kitu? nifanye simple 'uninstall' kutoka katika installed programmes au inakuwaje wadau???? natanguliza shukrani!

inategemea umeiweka vipi hiyo Linux OS kwenye Hard Disk moja pamoja na Windows XP? kama umeweka hizo OS mbili kwenye Hard disk moja itabidi ukitaka kuiondowa hiyo Linus itabidi uifunguwe kwanza hiyo Windows Xp kisha uende kwenye Start kisha Settings kisha Control Panel kisha uifunguwe Add OR Remove Programs kisha utaikuta hiyo Linux utaiondowa huko. Mimi mwenyewe nimeiweka hiyo Linux lakini kwenye hard disk yake na ninatumia Windows Xp na Linux pamoja hakuna matatizo
 
inategemea umeiweka vipi hiyo Linux OS kwenye Hard Disk moja pamoja na Windows XP? kama umeweka hizo OS mbili kwenye Hard disk moja itabidi ukitaka kuiondowa hiyo Linus itabidi uifunguwe kwanza hiyo Windows Xp kisha uende kwenye Start kisha Settings kisha Control Panel kisha uifunguwe Add OR Remove Programs kisha utaikuta hiyo Linux utaiondowa huko. Mimi mwenyewe nimeiweka hiyo Linux lakini kwenye hard disk yake na ninatumia Windows Xp na Linux pamoja hakuna matatizo

asante mdau!
 
Back
Top Bottom