Msaada jinsi ya ku-update smartphone manually

King Rabbit

JF-Expert Member
Mar 29, 2015
736
2,673
Ninatumia OPPO F1 PLUS inayotumia android version ya 5.1,hii simu niliagiza kutoka CHINA iikuja ikiwa tayari installed GOOGLE SERVICE

Changamoto yake ni kwamba inagoma kujiupdate yenyewe automatically ile option ya SYSTEM UPDATE kila nikiigusa ni kama vile blank

Simu iko vizuri haina tatizo lolote,ila nahitaji kui-update kutoka operating system yake ya 5.1 to any latest android version ili kusudi iweze ku-run vizuri kulingana na wakati tulionao sasa.

#Natanguliza shukrani kwani naamini nitapata msaada,Asanteni.

Screenshot_2021-03-30-00-39-53-25.jpg
 
Android 5 kwa sasa ni majanga kdg. App nyingi zinaanza kugoma. Ukiwa na at least 8.0 sshv ndio unakua na afadhali unaweza piga nayo miaka kadhaa mbele
Hii ndo changamoto ambayo nakutana nayo...inakera.
 
taja bei hapahapa watu wajue wanafanyaje
Dah ndugu acha tu toto si lilikuwa linalilia simu jioni hii,tukawa tunagombaniana sasa bahati mbaya si ikaenda chini kioo majanga tayari sasa we utanipa ngapi???
 
Ndy ila ninachojua mimi software inakua updated ila os inabaki mulemule kiukweli mimi sijawahi kufanya updation os ikapanda never ila kwa utundu maalum sio update za techo wa oppo
Inategema kma manufacturer wa simu yako ametoa OS update. Tecno huwa hawatoi, wameshawahi toa kwenye simu kama 3 tu.

Kwa mfano simu yangu ilikuja na Android 10 na kilikua na OS update kwenda Android 11.


Simu zinakuaga na Operating system (OS) updates na software patches.

OS updates huwa zinapandisha version. Kma from android 10 to 11 or iOS 13 to 14.

Software patches zinakuaga zinafix matatzo na ku containt security patches kwaajili ya kuimarisha security ya simu. Hizi ndio huwa version haipandi. Ukiangalia kwenye about phone kuna sehem unaona wameandika Android version na nyingine wameandika security patch level. Security patch level ndio Tecno huwa wanaupdate ila na hyo wako nyuma kuliko zile zinazotolewa na Google
Screenshot_20210411-131809.jpg
 
Back
Top Bottom