Msaada tutani

lukatony

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
667
522
am a graduate,currently working at Mwanza,a permanent work!I have a girlfriend who works temporaly at a certain NGO in Arusha,as Loan officer.NGO ni ya kukopa na kukopeshana,it's almost a year now,since we started our relatioship.Ana advanced diploma in procurement na exprience ya mwaka 1,katika kazi nilyotaja hapo juu!,wazazi wake wanaishi Singida.Wangu Mza.Tumepanga kuoana mwezi wa 12 mwaka huu!Sasa tuna miezi 4 tupo mbali ila tunatembeleana.Sasa yeye amekuja na mapendekezo haya ambayo nami nimemkubalia na ndipo hapo mwenye msaada anisaidie!!Ni kwamba kwa kuwa mimi tayari nina permanent ajira,na yeye kajishikiza,basi yupo tayari kuhamia Mwanza,kama atapata ajira huku ya kudumu au kujishikiza,kwa kuwa hata hiyo aliyonayo mapato yake ni kiduchu alikosa pa kujishikisha(nina uhakika na hili).Kaja na pendekezo hili ili mipango yetu itimie.Mwenye msaada tutani!!ajira Mwanza jamani,ingawa nami namtafutia sijachoka!!!
 
am a graduate,currently working at Mwanza,a permanent work!I have a girlfriend who works temporaly at a certain NGO in Arusha,as Loan officer.NGO ni ya kukopa na kukopeshana,it's almost a year now,since we started our relatioship.Ana advanced diploma in procurement na exprience ya mwaka 1,katika kazi nilyotaja hapo juu!,wazazi wake wanaishi Singida.Wangu Mza.Tumepanga kuoana mwezi wa 12 mwaka huu!Sasa tuna miezi 4 tupo mbali ila tunatembeleana.Sasa yeye amekuja na mapendekezo haya ambayo nami nimemkubalia na ndipo hapo mwenye msaada anisaidie!!Ni kwamba kwa kuwa mimi tayari nina permanent ajira,na yeye kajishikiza,basi yupo tayari kuhamia Mwanza,kama atapata ajira huku ya kudumu au kujishikiza,kwa kuwa hata hiyo aliyonayo mapato yake ni kiduchu alikosa pa kujishikisha(nina uhakika na hili).Kaja na pendekezo hili ili mipango yetu itimie.Mwenye msaada tutani!!ajira Mwanza jamani,ingawa nami namtafutia sijachoka!!!

kwa hiyo asipopata ajira Mwanza mipango yenu (ndoa) ndiyo No? au sijakuelewa? if that is the case....pole! get another woman
 
Pole sana mdau hiyo ni mitego ya maisha...chukua maamuzi ya kijasili coz hujui kazi atapata lini!!!!
 
Pole sana mkuu! Kwa mtazamo wangu, wewe kama mshauri wake mkuu inakupasa kujua kuwa Lady always are concluding before reasoning, yeye keshaweka hitimisha fikra zake kuwa as soon as akiacha tu kazi Arusha atapata kazi mwanza! Mpige shule kuwa katika hali ya sasa ni vema apate kazi kwanza before hajafikiria kuacha hiyo anayodai ni ya kipato kidogo. Lakini pia kama unadhani mnaweza kum-support capital akawa mjasiriamali is good ingawa hy nayo is risk kwani hamjaoana na hvyo unaweza kukuta mpo wawili na wewe upo nafasi ya pil.
 
Pole sana mkuu! Kwa mtazamo wangu, wewe kama mshauri wake mkuu inakupasa kujua kuwa Lady always are concluding before reasoning, yeye keshaweka hitimisha fikra zake kuwa as soon as akiacha tu kazi Arusha atapata kazi mwanza! Mpige shule kuwa katika hali ya sasa ni vema apate kazi kwanza before hajafikiria kuacha hiyo anayodai ni ya kipato kidogo. Lakini pia kama unadhani mnaweza kum-support capital akawa mjasiriamali is good ingawa hy nayo is risk kwani hamjaoana na hvyo unaweza kukuta mpo wawili na wewe upo nafasi ya pil.

ni rahisi kupata kazi na kuacha kazi kuliko kuacha kazi na kutafuta kazi
 
Nashauri for the sake of your marriage and friendship. Apige chinni kazi aje mkae hapo mkisubiri kuoana. Hivi jamani mbona mnaogopa kukaa bila kazi ni kwamba hamjiamini au? Mimi bwana mume wangu akihama na kazi naacha naenda naye. Unaweza sababisha maafa makubwa maishani mwako na majuto yasiyo ya lazima.

Angefukuzwa kazi je? ungefanyaje? Ebu jaribu kufikiria mambo yote siyo kung'ang'ania kwenye point moja. Kama mnapendana mwambie aje mwanza akae hapo apike msosi mtamu mle, mshibe mfurahie maisha yenu. Kama ni wa kupata kazi atapata tu. Hivi nani kati yenu hajui maisha biila kazi?
 
Nashauri for the sake of your marriage and friendship. Apige chinni kazi aje mkae hapo mkisubiri kuoana. Hivi jamani mbona mnaogopa kukaa bila kazi ni kwamba hamjiamini au? Mimi bwana mume wangu akihama na kazi naacha naenda naye. Unaweza sababisha maafa makubwa maishani mwako na majuto yasiyo ya lazima.

Angefukuzwa kazi je? ungefanyaje? Ebu jaribu kufikiria mambo yote siyo kung'ang'ania kwenye point moja. Kama mnapendana mwambie aje mwanza akae hapo apike msosi mtamu mle, mshibe mfurahie maisha yenu. Kama ni wa kupata kazi atapata tu. Hivi nani kati yenu hajui maisha biila kazi?

Hongera shost kwa mtazamo wako huo, na mola akufanye uendelee na tabia yako hiyo!! Ni akina dada wachache sana wenye moyo kama wako, nakupa big up sana.
 
If you don't mind getting a job in Shinyanga,check with World Vision Lake zone.Their offices are based in Shinyanga Pamba House. Some of their posts are normally advertised locally.
 
Back
Top Bottom