lukatony
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 667
- 522
am a graduate,currently working at Mwanza,a permanent work!I have a girlfriend who works temporaly at a certain NGO in Arusha,as Loan officer.NGO ni ya kukopa na kukopeshana,it's almost a year now,since we started our relatioship.Ana advanced diploma in procurement na exprience ya mwaka 1,katika kazi nilyotaja hapo juu!,wazazi wake wanaishi Singida.Wangu Mza.Tumepanga kuoana mwezi wa 12 mwaka huu!Sasa tuna miezi 4 tupo mbali ila tunatembeleana.Sasa yeye amekuja na mapendekezo haya ambayo nami nimemkubalia na ndipo hapo mwenye msaada anisaidie!!Ni kwamba kwa kuwa mimi tayari nina permanent ajira,na yeye kajishikiza,basi yupo tayari kuhamia Mwanza,kama atapata ajira huku ya kudumu au kujishikiza,kwa kuwa hata hiyo aliyonayo mapato yake ni kiduchu alikosa pa kujishikisha(nina uhakika na hili).Kaja na pendekezo hili ili mipango yetu itimie.Mwenye msaada tutani!!ajira Mwanza jamani,ingawa nami namtafutia sijachoka!!!