fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 530
- 551
Hello JF,
Rejea kichwa cha andiko langu hapo juu, siku 12 zilizopita nilituma maombi ya kuhakiki cheti cha kuzailiwa kwa ajili ya ndugu yangu, ili aweze kuomba mkopo lakini hadi sasa sijapata mrejesho.
So naomba kuuliza nini nifanye ili niweze kupata cheti kilicho hakikiwa?
Mimi nipo Dar kwa sasa naombeni msaada wenu.
Natanguliza shukrani.
Kama na wew umepata changamoto yoyote
Rejea kichwa cha andiko langu hapo juu, siku 12 zilizopita nilituma maombi ya kuhakiki cheti cha kuzailiwa kwa ajili ya ndugu yangu, ili aweze kuomba mkopo lakini hadi sasa sijapata mrejesho.
So naomba kuuliza nini nifanye ili niweze kupata cheti kilicho hakikiwa?
Mimi nipo Dar kwa sasa naombeni msaada wenu.
Natanguliza shukrani.
Kama na wew umepata changamoto yoyote