Wakuu, muda mfupi uliopita nimetoka kutoa pesa kwenye mashine ya atm ya nmb. Baada ya kuchukua pesa nikachukua na risiti pia. Kwenye ile risiti niliona kitu ambacho siku za nyuma sikukitilia maanani ila leo kilivuta makini yangu.
Salio lilikuwa limeandikwa na pia kiasi kilichopo kilikuwa kimeandikwa. Mkanganyiko nilioupata ni kuwa figure za 'salio' na 'kiasi kilichopo' zinatofautiana kama laki moja na 10 hivi, kwa maana ya kuwa kiasi kilichopo ni pungufu kwa laki moja na kumi kwa salio. Na kulingana na miamala niliyofanya nyuma kiasi cha salio ndicho sahihi. Wenye uelewa na haya mambo tafadhali, elimu inahitajika.
Natanguliza shukurani.
Salio lilikuwa limeandikwa na pia kiasi kilichopo kilikuwa kimeandikwa. Mkanganyiko nilioupata ni kuwa figure za 'salio' na 'kiasi kilichopo' zinatofautiana kama laki moja na 10 hivi, kwa maana ya kuwa kiasi kilichopo ni pungufu kwa laki moja na kumi kwa salio. Na kulingana na miamala niliyofanya nyuma kiasi cha salio ndicho sahihi. Wenye uelewa na haya mambo tafadhali, elimu inahitajika.
Natanguliza shukurani.