Kama Kuna msaada wa kiimani ama kisaikolojia naomba tafadhari kabla sijachanganyikiwa

Jun 12, 2024
34
45
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
 
Una Pepo la ngono si unaona ata jina la I'd yako yani hakuna jina jingine ulilofikiria zaidi ya Hilo..
Washkaji wanakumanua nawewe unaachia tu bila ata ya kinga mkuu we huogopi!? Hivi umecheck afya yako kwanza ilo mtoto wewe Aya tu..
Dawa yako ni mkuyenge tu ndio utapona..
kama hutaki mkuyenge ikikupendeza hama ilo eneo kwa gharama yoyote ile.
 
Pole sana, kwanza toa mawazo ya kurogwa kabisa. Usiamini nafsini mwako. Pili unaweza omba toba kwa lolote unaloona umemkosea Mungu wako. Ukaomba kuanza upya maisha yako, tatu usiwekeze moyo wako au furaha yako kwa mtu mwingine.

Naona ushapenda tena, achilia kila kitu, rudi Kanisani kusali, omba ukiwa na amani na Imani. Anza upya kusambaza barua, kuomba vibarua. Nina Imani, maisha yako yatajikusanya upya, usikate tamaa angali u hai. Kila la kheri na Mwenyezi Mungu, akutangulie.
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati
emoji24.png
Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Una mafanikio yaliyofichwa na adui zako.NAONA SHIDA KUBWA NNE KUTOKA KWAKO.
1. KUNA WATU HUJAWASAMEHE.
Hii ni Kwa kuwa umelelewa Kwa mateso. Hivyo HUJAWASAMEHE bado. Wasamehe hao watu usiwaweke moyoni mwako.
2. HUJATUBU KUHUSU DHAMBI YAKO KULINGANA NA HATIA YAKO YA KUTOA MIMBA.. hiyo HATIA pengine ndiyo inayoziba nafasi Yako.kila unachokiwaza Zaid ndicho kitakachotokea maisha I mwako . ..umekuwa ukiwaza kwamba ulishawishiwa KUTOA MIMBA pengine umekuwa unawaza pia kuwa hufai kitu...MAWAZO hayo yanaleta rejection kwako. Kwa kuwa una GUILTY,SELT REJECTION LEADS TO THE REJECTION FROM OTHERS . NENDA KWA MTUMISHI WA MUNGU..LIZUNGUMZE UFANYE UPATANISHO NA MUNGU.
3. UMEZUNGUKWA NA WASIOTAKA UFANIKIWE.
Kuwajua ni ngum, ila wapo... Hao Kwa Namna moja au nyingine... Wana maagano na agano ni kuwa kila anayeinuka anashushwa... FANYA tathimin,vunja maagano...
4. HUJAONGEA MUNGU KUHUSU KILIO CHAKO CHA MUME NA KAZI, ONGEA NA MUNGU,mwambie utafanya Nini akikupa mume, utafanya Nini kwa mumeo.. onesha kuwa una uhitaji na ndoa, mwambie MUNGU kuwa unataka kazi.mwambie MUNGU utafanya Nini MUNGU akikupa kazi....ni hayo tu.
 
Pole kijana! Yanayotokea kwako ni matatizo ya kawaida kwa vijana wengi. Fanya haya urudi kwenye ubora wako wa kabla ya kutoa bikra kwa bei rahisi

1.Jisamehe kwa makosa na ujinga wote uliofanya. Zungumza na wewe na ujiambie kabisa kwamba ulifanya makosa kama mwanadamu na yaliyopita si ndwele,yaache yaende. Mambo yakienda mrama yaache usiende nayo (alisema Fid Q). Jisamehe sana 100% kwa moyo mmoja

2 .Kitendo cha wewe msichana kuwa JF na unamjua Mshana Jr ni kuonesha udadisi wa hali ya juu na smart IQ. Maana yake ni kwamba una uwezo wa kuwa na mawazo chanya kwa maana ya kuwa positive zaidi kupokea maarufa mapya na situation mpya ya kujenga maisha yako

3.Socialize. Rudi kanisani,jichanganye na wasichana wapambanaji na usichague kazi. Umri wako ni mdogo na chochote unachotaka kinaweza kupatikana within 30's

4. Mfuatilie Fiona Nkya ( instgram fifi_lv utajifunza kitu vile unavyoweza kujikusanya ukawa collected na kuanza upya kila kitu chako kikawa super

Nakutakia kila la hari na siku uje kutoa ushuhuda hapa!
 
Asante ila huko kujilipua ndio ninaogopa what if nikafanya mabaya zaidii ya nyuma…kwasababu Sina kitu cha kuniingizia kipato natoka home naenda wapi sina chochote mkononii… huko nnje naogopa zaidii
Badili jina Kwanza" nampenda milele" unampenda nani hiyo milele yote? Kujilipua ni rahisi huna connection? Rafiki zako wa chuo huwasiliani nao??? Huko kanisani huna mabest? Mtaani hujichanganyi?! Nje ni rahisi sana ukifungua moyo wako toka hapo fikia kwa best hata ndugu asubuhi amka katafute kazi yoyote., Ikitokea itakusaidia kuanza upya kusahau ya nyuma. Mapenzi ni kitu kinafelisha wanawake wengi sana na kuwarudisha nyuma. Maisha ni yako na maisha hayasimami Wala hayarudi nyuma hakikisha muda wako unautumia vizuri na sisi binadamu tuna muda mchache sna wa kuishi.
 
inakubidi usimame hasa na usikate tamaa kwa haya unayokumbana nayo ni mapito tu, kingine punguza matarajio kwenye mahusiano na pia past yako iwe darasa kwa future yako.
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]

Pumzika kwanza akili ikae sawa maana maamuzi utayofanya huenda ya ka athiriwa na stress akilin na pressure ya wazazi na ndugu.

Usimtegemee sana mwanaume kwenye maisha yako eti aje tu akuoe kisha abadili maisha yako

Bado umri ni mdogo ukipata mchumba chukua muda umsome tabiaa mfahamiane zaidi kisha mtengeneze bond na sio kurukia ndoa to kama huko awali.

Huu muda tumia ku relax akili ikae sawa kwani uenda umesha pata stress za kutosha ambazo zimaweza kukupelekea ukapata sonona/ msongo wa mawazo.

ungeweka wazi kozi uliosomea uenda wa JF waka kupa connection ya kazi au mahali ukajishikiza ata kwa posho.

Kumbuka kufunguka kwa mtu unae muamini atatunza siri zako uenda ukazani unapitia magumu ila kuna binadamu wanapitia magumu zaidi yako. Kama ni mtu wa imani ndo muda wa kumrudia Mungu. Na kuanz kusali
 
Pole sana kwa yaliyokukuta.
Sikujaji ila kabla sijakushauri nikwambie tu, uliharibu kupoteza utu wako na mwanaume, tena wa mtu.
NB. Kumtumikia Mungu sio rahisi ndo maana wengi tunafeli, tena mwishoni.

Fanya hivi, samehe kila mtu aliyekuzingua tena kwa kumaanisha. Tuliza akili yako kwa kufanya meditation. Rudi kanisani tubu dhambi. Fanya restating (new version of you). Tafuta kiongozi wa dini (anaejielewa) mueleze majuto yako - akuongoze katika sala ya toba.
Kwa sasa karma ipo kwenye kazi yake. Unahitaji toba ya kweli.

Mwisho:
Katika kipindi chote hiki cha kujirudi. Weka mahusiano pembeni. Kama kuna mtu anakupenda mwambie akupe time. Hakuna jinsi utadate na mkaka wa kitanzania bila kushiriki ngono. Then, kama utaendelea kuperform sex katika kipindi hiki basi kazi bure.
Yangu ni hayo
 
Kutoa mimba ni kuua,uliua mtoto wako wa kwanza ndiyo chanzo cha hayo yote njoo pm nikusaidie .
Sio kweli

Dunia ya sasa ni ngumu mno mpaka unaweza hisi umerogwa au ni laana lakin hapana,mambo ni magumu tu

Nakuomba uwe mvumilivu,siku ya kutoboa yaja,

Kama kitako cha kuvalia nguo unacho na kisura sio haba usijar,usiwe na haraka dogo
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Fanya toba halisi Mungu atakusamehe dhambi zako zote, kama upo mikoa ya Kanda ya ziwa, sema ili nikuonyeshe Askofu aliyepewa neema ya kuvunja madhabahu ya giza.
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Dhambi ya mauaji (abortion) inakutafuna, na ikumbukwe kuwa mwenye kiumbe alikubali na alikuwa na future na wewe, tamaa za maisha mazuri ya bila jasho zinakuangusha katika dhambi ya uzinifu, mrudie Mungu wako kabla ya umauti kukufika
 
Back
Top Bottom