Msaada: Tumetapeliwa!

Hapana wife hana kosa, ila ni uwizi mpya technology ni pana sana mkuu tusimgombanishae jamaa na mkewe
Unampaje device mtu comfortably ukijua kuna apps zenye mpunga aisee. Wife mfundishe kudeal na wabongo
 
Swift keyboard hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize vizuri mkeo isije ikawa huyo aliyemwibia hela ni mchepuko wake unajua namba zake za siri but wamegombana so jamaa akaamua liwalo na liwe
 
Huyo wife wako kuna kitu amekuficha ili usionekane mjinga,muulize vizuri.
Acha uchonganishi mkuu, hii kitu ipo.

Maza angu aliibiwa hela Na wakala ila ye zilikuwa kwenye ac ya airtel money (more than 150k) wanaibaje ibaje me sijui na hapo namba ya siri wala hakumpa
 
Inabidi uanzie bank wakwambie hela imeenda katika account gani
 
Mbona ishu ya mobile banking kuandika try again later huizungumzii.
 
Mkeo kuna sehemu kakuficha mwambie akueleze ukweli, kuna mazingira yalitokea akataja namba yake ya siri tu, kuhusu hiyo error anayopata sina utaalamu nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…