😂😂😂😂Jobless anabishana na meck pro anaesubiria kuripoti kaziniSasa unasema hujawahi kufanya halafu unajua huwa hawatoi kitu fulani.
Usibishane na waliowahi kufanya, tena wengine wana barua za kuitwa kazini.
😂😂😂😂Jobless anabishana na meck pro anaesubiria kuripoti kaziniSasa unasema hujawahi kufanya halafu unajua huwa hawatoi kitu fulani.
Usibishane na waliowahi kufanya, tena wengine wana barua za kuitwa kazini.
😂😂😂😂Hahhhh jobless mbishi sana huyu anafikiri watatoa ya darasa tu ,kumbe mambo ni tofauti kabisa hapo Kuna software lazima ujue zinatumikaje na hizi drilling process ajue steps zake na methods zake afu anabishanaSasa asingetuma job description tungejuaje kama TPDC wakati ICT yupo kila sehemu
Jobless jeuri huyu![]()
😂😂😂😂Hahhh ameshakata jina kabisa hataki kuliona kwenye flashYule mzee wa flasha ana mzoom tu![]()
Yeye inatakiwa akubali kusaidiwa kisha asikilize anachoelekezwa sasa yeye anakuja na mawazo yake au anadhani IT wa TPDC anafanya kazi sawa na IT wa TCRA. .kila taasisi inampangia mtu majukumu tofautiUtakiwa loser sana, umewahi kufanya tena mara kadhaa halafu haujajua usome wapi.
Kwa zile za mwanzo maswali yalikujaje, au weka maswali uliyowahi kuyafanya, watu wayaone wajue namna gani ya kukusaidia


anabishana na watu wanasubria placement 
😂😂😂😂 Jobless huyu jau sana hataki kusikia chochoteanabishana na watu wanasubria placement
![]()
Watu washakwepa mishale mingi halafu anawavimbia, sijui mbinu za kukwepa mishale atazijuaje.anabishana na watu wanasubria placement
![]()
@Mwifwa na hajui ka hapa tunabadilishana uzoefu mbalimbal za sahili na matokeo yake ili kuwasaidia wengne kutoboaWatu washakwepa mishale mingi halafu anawavimbia, sijui mbinu za kukwepa mishale atazijuaje.
Tumtakie tu kila la kheri, ila milango ya miongozo ipo wazi siku zote kwa wanaotoa ushirikiano@Mwifwa na hajui ka hapa tunabadilishana uzoefu mbalimbal za sahili na matokeo yake ili kuwasaidia wengne kutoboa