Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
Ya kwako rabda itakua ni toleo la kwanzaNatumia Tecno W4 kama yako na haina tatizo lolote mpaka nw nimenunu tangu mwezi wa 4
Ya kwako rabda itakua ni toleo la kwanzaNatumia Tecno W4 kama yako na haina tatizo lolote mpaka nw nimenunu tangu mwezi wa 4
Nadhani itakua hivyo mkuu maana simu zenyewe pia zimetolewa mwezi huo wa 4 nadhani hii itakua ni 1st generationYa kwako rabda itakua ni toleo la kwanza
Endelea kuamini kaka.ila hiyo kampuni ata hucko china awazijui dubai ndio kabisa ata spare awauzi.sasa unafikiri nini
Hapo ndiyo pa kujiuliza.Na utaijuje kama hii simu ni toleo la kwanza