josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 637
Wakuu heshima kwenu.
Kuna jamaa angu analalamika ulaji wa wa data kwenye simu yake, unaweza kukuta 2gb sinakata mchana mmoja tu ila matumizi yake anadai ni ya kawaida tu.
Nilipocheki Data Usage kwenye simu yake niliona kinachotumia data kwa wingi ni "Simcard Traffic ." (Sikumbuki vizuri maneno yote).
Msaada wenu katika hili wakuu, hiyo traffic ndo nini na tufanyeje kuirudisha simu normal?
Kuna jamaa angu analalamika ulaji wa wa data kwenye simu yake, unaweza kukuta 2gb sinakata mchana mmoja tu ila matumizi yake anadai ni ya kawaida tu.
Nilipocheki Data Usage kwenye simu yake niliona kinachotumia data kwa wingi ni "Simcard Traffic ." (Sikumbuki vizuri maneno yote).
Msaada wenu katika hili wakuu, hiyo traffic ndo nini na tufanyeje kuirudisha simu normal?