Msaada: Tatizo la ukali wa kupitiliza

Msaada: Tatizo la ukali wa kupitiliza

Ndg kwanza pole kwa hasira ulizonazo,pili ukiona hivyo jua kuna kitu juu yako,kwani kuwa na hasira ni jambo la kawaida mtu yeyote isipokuwa namna ya kuzicontrol ndio tunatofautiana sasa ww hasira zako zimezidi kumbuka hasira kupita kiasi ni nyumba ya SHETANI utakuwa na mapepo ndg.Chakufanya kaombewe tu mambo yote kwisha.
 
Lamba sumu ya panya. Utakuwa mkimya hadi watu washangae.
 
mrudie mungu n uokoke coz usifanye haraka kukasirika kwani hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu
 
Back
Top Bottom