Salamu,mimini mjasiliamali mdogo ,namiliki saluni 2 za kunyoa! kutokana na mgao wa umeme mapato yameshuka hadi afu 50 kwa wiki
badala ya laki 2 ,sina ujanja kwa sasa kwa sababu kwa serikali hii yaelekea umeme wa uhakika ni hakuna mpaka tutakapo zindiku tuwaeleishe wajinga wengi wasiendelee kuchagua UJINGA!
Jamani naomba msaada nataka kununua jenereta kwa ajili ya saluni hizo ...jenereta dogo ambalo linaweza kuendesha mashine mbili za kunyoa ,taa ,feni 2 na sterilizer ,Najua wapiganaji mtanisaidia bei, ubora na mengine kwa kadri ya uzoefu na ujufahamu wenu!
badala ya laki 2 ,sina ujanja kwa sasa kwa sababu kwa serikali hii yaelekea umeme wa uhakika ni hakuna mpaka tutakapo zindiku tuwaeleishe wajinga wengi wasiendelee kuchagua UJINGA!
Jamani naomba msaada nataka kununua jenereta kwa ajili ya saluni hizo ...jenereta dogo ambalo linaweza kuendesha mashine mbili za kunyoa ,taa ,feni 2 na sterilizer ,Najua wapiganaji mtanisaidia bei, ubora na mengine kwa kadri ya uzoefu na ujufahamu wenu!