Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Wakuu nimepatikana hapa yaani nilipata kademu fulani nikaona ngoja nipunguze lita kadhaa ambazo zilikuwa zinanielemea. Demu mwenyewe sio mzuri sura hawajapishana sana na Onyango yule beki wa simba!
Sasa kilichonisibu niandike uzi huu ni kwamba demu ameng’ang’ania ghetto nimejaribu mbinu zote za kumtoa hadi kipigo cha mbwa koko na bado imeshindikana kutoka.
Anachosema ni kwamba ni bora nimuulie hapo hapo ghetto kuliko kutoka maana anachotaka ni ndoa tu na mimi nilikuwa na hit &run tu!
Wakuu mawazo yenu tafadhali nimeshagandwa huku
Sasa kilichonisibu niandike uzi huu ni kwamba demu ameng’ang’ania ghetto nimejaribu mbinu zote za kumtoa hadi kipigo cha mbwa koko na bado imeshindikana kutoka.
Anachosema ni kwamba ni bora nimuulie hapo hapo ghetto kuliko kutoka maana anachotaka ni ndoa tu na mimi nilikuwa na hit &run tu!
Wakuu mawazo yenu tafadhali nimeshagandwa huku