Wakuu naomba mnisaidia, nikifungua mtandao wowote,hata facebook etc picha na hata maneno yanaonekana kama yamevutwa na hayaonekani kabisa.
Ninatumia komputer, sijajua ka ni virusi au ni nini.
mkuu !hii ni kwenye browser pekee au at nnje kwakua navoona hizo picha tatizo sio connection ni interface unapata katika baadhi ya picha zako kunamuungiliano wa rangi!ingekuwa vizuri ungetoa full information