Msaada: tafadhali nimefunguwa 'blender" nimeshindwa kuifunga

Msaada: tafadhali nimefunguwa 'blender" nimeshindwa kuifunga

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,927
Habari zenu humu Wakuu Msaada tafadhali kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimefungua ila sehemu kuirudisha pananishinda mpaka nataka kukasirika sijui nakosea wapi? šŸ˜ž
IMG_20200917_155503_5.jpg
 
Pole. Ni ngumu kukuelekeza bila kuifanya physically.
 
Rudisha hizo blade kwa ndani kisha zizuie kwa mkono mmoja, kisha chukua hizo brush ambazo unafungia kwa nje lakini katika kufunga anti clockwise!!
 
Geuza hyo base nyeupe, ingiza huo upanga hali ya kua uabki juu na shaft yake iyende chini (upande unaofungwa kwnye blende ndo chini na upande unapofunga jug lake ni juu kwa maelekezo hayo ninayokupa).

Then weka washer hyo kwa chini (sehemu ya kufunga). Then weka hcho kiplastic/rubber hali ya kua upanga wake unaelekea chini, tia washer nyingine alaf funga bolt yake
 
Rudisha hizo blade kwa ndani kisha zizuie kwa mkono mmoja, kisha chukua hizo brush ambazo unafungia kwa nje lakini katika kufunga anti clockwise!!
Mkuu Shukrani Sana nimeweza aisee ushauri wako umenisaidiašŸ˜…šŸ™šŸ‘
 
Geuza hyo base nyeupe, ingiza huo upanga hali ya kua uabki juu na shaft yake iyende chini (upande unaofungwa kwnye blende ndo chini na upande unapofunga jug lake ni juu kwa maelekezo hayo ninayokupa). Then weka washer hyo kwa chini (sehemu ya kufunga. Then weka hcho kiplastic/rubber hali ya kua upanga wake unaelekea chini, tia washer nyingine alaf funga bolt yake
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom