kiborinangari
Member
- Apr 24, 2015
- 90
- 23
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
nyumba gan hyo capripoint inauzwa m.130 unataniaaaaa na ni uongo nyumba za pale ni 1.bi kwenda mbele
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
Mkuu mi ni mzima kabisa,usidhani eti nitaishiwa tayari nimenunua nyumba kadhaa,na nimefungua biashara za maana kabisa,ambazo kwa siku sikosi laki 3,kwa mwezi mil 9,sasa sioni tatizo hapo ila nataka tu harusi yangu ifane sana na heshima irudi haraka,
Sijaelewa mkuu, ni mke wako ila unataka kufunga ndoa?!
Hiyo hela yako tafuta mtu muulize kilo 65 za dhahabu ni sawa na sh ngapi? Ndo ufunue mdomo kuongea,watu tumetoa kafara kalole, watu wakafukiwa mashimoni na kufa ndo tumepiga haya mapesa wewe unaleta stoy za ufisadi,naona dhahabu unaisikia tu huijui kijana.
Maskini akipata ma.tako hulia pwaa
Mzee Makosa
Iringa
Mkuu mi ni mzima kabisa,usidhani eti nitaishiwa tayari nimenunua nyumba kadhaa,na nimefungua biashara za maana kabisa,ambazo kwa siku sikosi laki 3,kwa mwezi mil 9,sasa sioni tatizo hapo ila nataka tu harusi yangu ifane sana na heshima irudi haraka,
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
Mjengo tayari mkuu,sijajenga nimefanya kununua kabisa wa mil 130 mwanza mjini kapripoint.
Hiyo hela yako tafuta mtu muulize kilo 65 za dhahabu ni sawa na sh ngapi? Ndo ufunue mdomo kuongea,watu tumetoa kafara kalole, watu wakafukiwa mashimoni na kufa ndo tumepiga haya mapesa wewe unaleta stoy za ufisadi,naona dhahabu unaisikia tu huijui kijana.
Hiyo ni bei ya kiwanja, usitufanye watoto.
Kama kweli unapesa kesho lipia jf uwe Tanzanite member.
you need jesus!
Nitashukuru sana kiongozi yote hayo tuta chat.