Msaada tafadhali, naachikaje?

Sawa mpendwa, ila mwisho wa siku "kila mtu atatoa hesabu ya matendo yake mwenyewe". Hutohukumiwa mkiwa group hata
Dini ni Imani na matendo yako Mpendwa. Unaweza kuwa mshauri mzuri lakini ukawa ni mtenda Dhambi mkubwa. Naamini naishi ndani ya Mungu
 
Wanapohusika mtoto/watoto,kuachana ni ujuha!...na kwa namna unavyotaka kuachika wewe ndie juha ulietukuka!
....huna hata sababu za msingi,na hutaki usuluhishi wa wazee,mapadri!..ulitushirikisha mlipotaka kuoana?...waliowatwika ndio watakaowatua!
..usituchoshe,KAFIE MBELE!
 
Dini ni Imani na matendo yako Mpendwa. Unaweza kuwa mshauri mzuri lakini ukawa ni mtenda Dhambi mkubwa. Naamini naishi ndani ya Mungu
Shemeji ulidhani nakuhubiria eti, me mwenyewe naihitaji sana hiyo neema. Me nilikuwa nakuzingua tu uache na wewe kukamata fursa, usisubiri hadi na kina daddy waache kwanza. So relax, mambo ya imani ya mtu ni kitu sensitive sana, hata kudiscuss tu siwezi
 
Huyu dada hakumpenda huyo mumewe hata kidogo. Watakua walikutana kwa ajali. Hawezi kataa suluhishi la ndg na hata viongozi wa dini. Alafu anakimbilia JF.. Kufanya nini..

Ana matatizo makubwa yeye na anafurahia kujiachisha.

 

Mungu hajaribiwi mpendwa. mbaya sana.
 
Hapa nimekupa mfano shem kwamba unaweza kumkuta mtu ni mtoa neno zito la bwana lakini nyuma ya pazia ni kondoo aliyepotea. Sipo huko ulikowaza shem au labda unaongozwa na hofu juu yangu mpendwa. USINIOGOPE
 
Hapa nimekupa mfano shem kwamba unaweza kumkuta mtu ni mtoa neno zito la bwana lakini nyuma ya pazia ni kondoo aliyepotea. Sipo huko ulikowaza shem au labda unaongozwa na hofu juu yangu mpendwa. USINIOGOPE
Usijali hata, tuko pamoja mpendwa.
 
ibra87 katika ubora wa hali ya juuu zaidi......
 
Last edited by a moderator:
Mungu Ambariki Sana Heaven Sent... Amefanikiwa kuwabadili vijana kutoka kwenye Ukamataji wa Fursa Mpaka Kufikia kulitambua neno na kumjua Mungu. Imani Ya bwana iwe nawe

Naona hata wewe umebadilika mnoo... siku hizi unashusha busara tuuu, bigup saana mkuu
Heaven Sent stay blessed,
 
Last edited by a moderator:
Naona hata wewe umebadilika mnoo... siku hizi unashusha busara tuuu, bigup saana mkuu
Heaven Sent stay blessed,

Nashukuru Mkuu pale unapoona Kuna uwezekano WA kushauri fanya hivyo Bila kujali watu wanasemaje au kukuchukuliaje.
 
Last edited by a moderator:

Mchukue mwanao ondoka nyumbani nenda kapange kwako.

Akileta jeuri ya pesa nenda polisi wamuwekee 'restrain order' ya kumzuia kukaa karibu na wewe.
 
Huyu dada hakumpenda huyo mumewe hata kidogo. Watakua walikutana kwa ajali. Hawezi kataa suluhishi la ndg na hata viongozi wa dini. Alafu anakimbilia JF.. Kufanya nini..

Ana matatizo makubwa yeye na anafurahia kujiachisha.

exactly!....mpuuzi tu,afu eti ni mama!....linajifikiria lenyewe tu hili zuzu!
....kwenye ndoa tungekuwa tunahesabiana makosa,NANI ANGESIMAMA?!
 
My dear...

Kama ana jeuri ya pesa hata huko mahakamani atatumia uwezo wake ukashindwa.

Unapoamua kuondoka kurudi ni maamuzi yako. Kwani kuna anayekushika miguu kukurudisha????

Hatua ya kwanza ni kuondoka....na kusimamia msimamo wako. Kwani akiita hata ukoo mzima na ukamkatalia kurudi atakubeba begani kukutudisha???? Hatua ya pili mabaraza ya usuluhishi...tena uwe firm then ndio mahakamani tena ujipange haswa maana atazitembeza.

Ukishindwa ni kumuignore na kuendelea kuishi nae....kwa kuseparate vyumba.. wewe uwe busy na yako tu...hii itakupa muda mzuri wa kujipanga



 

Hahaaaa mpendwa umetisha...
 
Unaweza kukaa kimya? Kwa maana us insensate NA wala usimpe unyumba kwa muda fulani? Hiyo Ni silaha tosha kwako....
 
Unaweza kukaa kimya? Kwa maana us insensate NA wala usimpe unyumba kwa muda fulani? Hiyo Ni silaha tosha kwako....

Jamaa anapesa asipopewa game anaenda kutafuta MAPAKA nje anajilia kiroho safi mkuu, agomee vingine lkn sio game
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…