Msaada tafadhali: Mama ni mchawi

Msaada tafadhali: Mama ni mchawi

Pole saaaana,keep on prayer God wil save your mom nd hope ataachana na mabaya yote afanyayo.
 
fool day watu wapo radhi hata kuzalilisha wazazi wao!!!??
 
Pole mkuu, mchomoe huko kwa kumpeleka maombi kila wakati, familia mfunge na kusali, muandie misa kila mwezi. Huenda hata yeye alijipata tu yupo huko kwa kulazimishwa.
 
Sasa ule msemo wa Mchawi mpe mtoto akulelee kwenye kesi yako ina apply pia au watu wengine tuu?
 
Mama ni mama either aokoke na kuacha uchawi au. Tumia andiko la usimwache mwanamke mchawi kuishi, lasihivyo hata wewe atakumaliza
 
Kuna Kanisa unalifanyia promo kwa kumdhalilisha mama yako? acheni tamaa ya hela... haya twambie ni mchungaji gani ili twende tukatoe sadaka..... maana sasa mmeweka pesa mbele utu nyuma..... siku hizi wachungaji wanatembea na bastola uwiiiii
 
Back
Top Bottom