Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Hii imekaa a bit too coward....chapa karatasi kumueleza hayo na aipate pasi na kujua imetoka kwako.
Bora ya kumwambia wazi ajue it is serious
Ikiwa hajui nani katuma anaweza kudhani
watu wameanza kuchukia ukaribu wake na boss mpya
Na akaamua kuzidisha ukaribu huo ili kuwakomoa wengine