wanakunya akhpjtjHAMYost: 15138727 said:....Wewe ni JF expert member halafu hujui mada ya aina hii inapaswa kutundikwa wapi? Unawezaje kuweka mada za mahusiano na mapenzi kwenye jukwaa la siasa!?
...Suala la simu...unaweza kuweka 'password' tu na ukazuia mtu kusoma sms zako...Hilo nalo unataka JF ikushauri kufanya?
...Kuna watu vichwa vyenu sijui mnavitumia kufanyia nini!!!
Tuwe tunaangalia na vitu vya kuomba ushauri JamaniHabari zenu wadau,
Baada ya kuwa na stress zilizotokana na kutemana na binti ambaye nilimpenda kwa kiasi flani hivi, nikaamua kumtafuta huyo binti ili kupunguza stress na binti hiyana analala na kuamka home kwangu, na anafanya kila kitu kama kupika(hapa yupo vizuri sana), kufua na usafi Wa ndani.
Pia huyu binti yupo vizuri kwa umbo, sura na kitandani ndio zaidi na kampita Wa awali kwa kiasi kikubwa.
Tatzo alilonalo ni wivu, ana wivu sana kitu ambacho sipendi awe anasoma text katika simu yangu, nimejarbu kumwambia ila bado ni mbishi. Pia anakawaida ya kukasirika bila ya kuniambia sababu.
Kutokana na sababu hzo naombeni ushauri Wa jinsi ya kumtoa hapa ndani kwangu, kwa sababu napenda kuwa huru katika mambo yangu.
kila mtu ana mapungufu yake kiongozi, mzuri huku ila sehemu flani tatizo...so jaribu kuhandle weakness usichhoke kumuweka sawa kama unampenda....ukimpata asiye na wivu anaweza kua mbovu mapishi au kitandani au mzembe au chochote...so muambie anakukera apunguze kikubwa yupo insecured anawasiwasi una mcheat ..labda amewahi cheat au anajua wanaume rahisi ku cheatHabari zenu wadau,
Baada ya kuwa na stress zilizotokana na kutemana na binti ambaye nilimpenda kwa kiasi flani hivi, nikaamua kumtafuta huyo binti ili kupunguza stress na binti hiyana analala na kuamka home kwangu, na anafanya kila kitu kama kupika (hapa yupo vizuri sana), kufua na usafi wa ndani.
Pia huyu binti yupo vizuri kwa umbo, sura na kitandani ndio zaidi na kampita wa awali kwa kiasi kikubwa.
Tatizo alilonalo ni wivu, ana wivu sana kitu ambacho sipendi awe anasoma text katika simu yangu, nimejarbu kumwambia ila bado ni mbishi. Pia anakawaida ya kukasirika bila ya kuniambia sababu.
Kutokana na sababu hizo naombeni ushauri wa jinsi ya kumtoa hapa ndani kwangu, kwa sababu napenda kuwa huru katika mambo yangu.
kuna watu wana akili za kuvukia barabara tu yan kuangalia kushoto na kulia then anavuka cdhan ata kama una ufahamu wa IQ 2 tu huweza kuja kuomba ushauri eti wa kumtimua m2 nyumbani kwako....Wewe ni JF expert member halafu hujui mada ya aina hii inapaswa kutundikwa wapi? Unawezaje kuweka mada za mahusiano na mapenzi kwenye jukwaa la siasa!?
...Suala la simu...unaweza kuweka 'password' tu na ukazuia mtu kusoma sms zako...Hilo nalo unataka JF ikushauri kufanya?
...Kuna watu vichwa vyenu sijui mnavitumia kufanyia nini!!!
hv account yako imekuwa hacked au ? maana unachoomba ushauri ni cha kitoto sana kulinganisha na level ya account yako mambo hayo wanafaa kwa JF member C JF ExpertHabari zenu wadau,
Baada ya kuwa na stress zilizotokana na kutemana na binti ambaye nilimpenda kwa kiasi flani hivi, nikaamua kumtafuta huyo binti ili kupunguza stress na binti hiyana analala na kuamka home kwangu, na anafanya kila kitu kama kupika (hapa yupo vizuri sana), kufua na usafi wa ndani.
Pia huyu binti yupo vizuri kwa umbo, sura na kitandani ndio zaidi na kampita wa awali kwa kiasi kikubwa.
Tatizo alilonalo ni wivu, ana wivu sana kitu ambacho sipendi awe anasoma text katika simu yangu, nimejarbu kumwambia ila bado ni mbishi. Pia anakawaida ya kukasirika bila ya kuniambia sababu.
Kutokana na sababu hizo naombeni ushauri wa jinsi ya kumtoa hapa ndani kwangu, kwa sababu napenda kuwa huru katika mambo yangu.