Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Nimepata wazo hapa wakuu!
Tutenngeneze thread imwe kama Dira ama database as ana attachment.......
Humo tuweke
Nini kinastawi wapi? kwa gharama gani ; chanagamoto gani; msimu gani; kwa msaada wa karibu nani atahusika..................tutapiga mbele kwa kila kitu the same thing tuiweke kwenye mifugo na hata madini ama biashara; ni wazo tu limenijia baada ya kukuta aina hii ya maswali ikijirudia lakini kila siku kumekuwa vitu vipya vya kujifunza kwayo..............mtaniambia namana ya kuliboresha wazo hili lakini naamini litatusaidia.
Tutenngeneze thread imwe kama Dira ama database as ana attachment.......
Humo tuweke
Nini kinastawi wapi? kwa gharama gani ; chanagamoto gani; msimu gani; kwa msaada wa karibu nani atahusika..................tutapiga mbele kwa kila kitu the same thing tuiweke kwenye mifugo na hata madini ama biashara; ni wazo tu limenijia baada ya kukuta aina hii ya maswali ikijirudia lakini kila siku kumekuwa vitu vipya vya kujifunza kwayo..............mtaniambia namana ya kuliboresha wazo hili lakini naamini litatusaidia.