Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,733
NITAFUTE WHATSAPP 0754 60 45 67.hizo simu mafundi hawaijui sensor. Zikoje sasa mara nyingi zina waanguka.nitafute tatizo la simu
Kwani huwezi nielekeza cha kufanya? Maana mimi simu ikiharibika huwa natengeneza mwenyewe. Naweza sema mi mwenyewe ni Fundi lakini simu ninazotengeneza ni zangu na watu wangu wa karibu ikitokea ishu ya matumizi ya Brower ndo inabidi nikadowee kwenye ofisi za watu. Naweza sema sijihusishi na ufundi kwa asilimia 100. Hivyo kama hutojali naomba unielekeze nini cha kufanya.., Pls