msaada sitaki kufa na tai shingoni!

msaada sitaki kufa na tai shingoni!

Morning glory inahusika. Na hivi leo hakuna kazi. Hii long weekend lile agizo la kuijaza sunia linahusika nadhani. [/QUOTE BAK hiz nyimbo hiz sa hz asbh asbh unantakia mema kkweli mimi!
ah!nakasirikaga mimi!majimbo yanavutika sana haya!ah
[/QUOTE]

ahahahahahhaah mwenza we achaga tu!
usinikumbushe banaaaaaaaaaaaaa ah!unakumbuka siku ile ulivyotoka kumnunulia Paw mbudhi wa thupu kwa besidei yake tulivokutana alfajiri mi nikiwa natoka chimbo na we ukiwa unatoka vingunguti(kudadadeki na we ukaona pa kuninganyiaaa kooote vingunguti!)basi ndo niko huko huko!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Kiranga anaendesha basi? Kiwanja?

Labda la kwenda Chanika.
 
Huyo jamaa ni raia wa congo,na ungemsikiliza vizuri kiswahili chake ni cha kikongo,sema amehamia hapo unapopasema kama miaka 8 iliyopita,namfahamu vizuri, ila ni mume wa mtu kwa hiyo kama ndio madili yako endelea kwa wakati wako ila kama ni mtu unayeheshimu ndoa za watu achana nae.
unanijudge wakati hata hunijui...nimesema simfahamu ulitegemea niote ndotoni kama ameoa? Na kiswahili chake nimekiskia najua si mtanzania!!
 
Mmmh!unaendekeza njaa tu.Na baba mtoto anajua?
Siku kadhaa zilizopita nimepanda basi nikakutana na kijana moja ambae ndo alikuwa dereva...akatabasamu nikahisi kama alitaka kusema kitu akashindwa..ila the way he looked at me felt like almost he knew me or he knew something about me and i didn't know him...sikujua kama anaongea kiswahili...mm nilikuwa na mwanangu nikamsemesha nikamwambia abonyeze stop..mtoto akafanya hivo basi to my surprise yule mwanaume akaanza kuongea kiswahili usisahau nipo ughaibuni..Since then sikuweza kumtoa kichwani its like i have a crush on him na hata simjui...
Siku nyingine nikakutana nae tena..akanisalimia habari nikamjibu lkn sikuweza kusema chochote zaidi ya kwenda kukaa kwenye siti yangu..well wat happened is tht alikosea kuendesha buss kwenye route alokuwa akitakiwa aendeshe ikabidi aambiwe mbona unakoenda siko akasema samahani nimesahau..akazungumza lugha moja ya kigeni ambayo sio ya nchi hii nilokuwepo...na ofcoz sijawahi kumuona hapa before nahisi ni mgeni...sijui hata nimuapproach vipi coz nikimuona napata ganzi..na kila nikikutana nae ni kwenye basi sipati nafasi ya kuongea nae..in 27 years of my life this is the second time i feel this way..PLEASE HELP SITAKI KUFA NA TAI SHINGONI!!:biggrin:
 
Siku kadhaa zilizopita nimepanda basi nikakutana na kijana moja ambae ndo alikuwa dereva...akatabasamu nikahisi kama alitaka kusema kitu akashindwa..ila the way he looked at me felt like almost he knew me or he knew something about me and i didn't know him...sikujua kama anaongea kiswahili...mm nilikuwa na mwanangu nikamsemesha nikamwambia abonyeze stop..mtoto akafanya hivo basi to my surprise yule mwanaume akaanza kuongea kiswahili usisahau nipo ughaibuni..Since then sikuweza kumtoa kichwani its like i have a crush on him na hata simjui...
Siku nyingine nikakutana nae tena..akanisalimia habari nikamjibu lkn sikuweza kusema chochote zaidi ya kwenda kukaa kwenye siti yangu..well wat happened is tht alikosea kuendesha buss kwenye route alokuwa akitakiwa aendeshe ikabidi aambiwe mbona unakoenda siko akasema samahani nimesahau..akazungumza lugha moja ya kigeni ambayo sio ya nchi hii nilokuwepo...na ofcoz sijawahi kumuona hapa before nahisi ni mgeni...sijui hata nimuapproach vipi coz nikimuona napata ganzi..na kila nikikutana nae ni kwenye basi sipati nafasi ya kuongea nae..in 27 years of my life this is the second time i feel this way..PLEASE HELP SITAKI KUFA NA TAI SHINGONI!!:biggrin:

Unatakiwa kufanya ni ku smile kwa sana ukimuona
na akikusemesha mjibu kwa tabasamu
baasi....kazi imekwisha
na uwe unapanda hilo basi mara kwa mara
 
Mwmbie ukweli mana utakuwa umeonyesha uko serious kwake


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sasa wewe unaongelea cha malikia umeshawahi kumfumania Kiranga akiongea kiswahili fasaha..??
si ndio mana nilimwonea huruma shosti yangu King'asti muke ya mukubwa!
i see mi ni mwalimu wa kiswahili ila Kiranga nakaa kando kusema ukweli!jamaa anaijua lugha yake!yaani hakuna kitu kingine mi huwa naangalia kwenye post zake zaidi ya vile anavyotumia misamiati adimu kabisa kutumia kwenye mazungumzo ya kawaida!natamani sana niufikie huo ujuzi!
 
Last edited by a moderator:
Kamatia Teja banaaa!!! Kwanini uteseke na Teja yupo pembeni!? lol!
:fencing::fencing::fencing:




ahahahahhahahhahah haya bana mi leo chichemi!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
lol! Umekuwa Bubu leo eeh!?:tape2::tape2: :tape2: Haya banaaa...Mie niko bomba sana 🙂🙂...Natumai nawe umzima wa afya ukiondoa..:tape2::tape2::tape2 :




Kamatia Teja banaaa!!! Kwanini uteseke na Teja yupo pembeni!? lol!
:fencing::fencing::fencing:




ahahahahhahahhahah haya bana mi leo chichemi!
 
Last edited by a moderator:
lol! Umekuwa Bubu leo eeh!?:tape2::tape2: :tape2: Haya banaaa...Mie niko bomba sana 🙂🙂...Natumai nawe umzima wa afya ukiondoa..:tape2::tape2::tape2 :



una hamu ya kulia BAK we ngoja!
cc @fP
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha lol!
:yo::yo::yo:



hauna wimbo wowote wa homesick huko kwenye kabrasha lako!sijasema wa missing au nini nimesema wa homesick!basi hata ule wa nameless wa narudi nyumbani!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Last edited by a moderator:
Najua unamiss tabasamu la Teja, pole sana safari njema kuelekea maskani 🙂🙂..huo wimbo mwingine fundi mitambo bado wanausaka lol!!!

see!
alosto mchezo!

 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Najua unamiss tabasamu la Teja, pole sana safari njema kuelekea maskani 🙂🙂..huo wimbo mwingine fundi mitambo bado wanausaka lol!!!

see!
alosto mchezo!



huu sasa umwendee mheshimiwa teja langu popote alipo! BAK fkisha hizo salamu!
af we tunachakachua uzi wa watu kama kawaida yetu tukikutana!mi staki kesi bana!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom