msaada sitaki kufa na tai shingoni!

msaada sitaki kufa na tai shingoni!

si ndio mana nilimwonea huruma shosti yangu King'asti muke ya mukubwa!
i see mi ni mwalimu wa kiswahili ila Kiranga nakaa kando kusema ukweli!jamaa anaijua lugha yake!yaani hakuna kitu kingine mi huwa naangalia kwenye post zake zaidi ya vile anavyotumia misamiati adimu kabisa kutumia kwenye mazungumzo ya kawaida!natamani sana niufikie huo ujuzi!



Naomba niwe rafiki yako maana kuna vitu najifunza katika kila post yako...........
 
hii stori nzuri, sijui mwisho wake ulikuwaje, ulikufa na tai au ulifanikiwa?
 
Business card... kama hauna, andika hata namba kwenye kikaratasi. Siku ukipanda hilo basi wakati wa kushuka ongea sentensi moja tu... ..."Brother naona kama we ni mwenyeji huku, kuna mambo nilitaka nikuulizie maana mi ni mgeni kidogo.. kama ukiwa na mda naomba inipigie tafadhali, namba yangu hii hapa"... Then unashuka kabla hajakujibu. Akija kukupigia swali la kwanza muulize ..."Umeoa"? Yanayofuata changanya na zako...
asee wewe ni noma kwa kutongoza
 
Ni kweli umempenda au unataka wa kukusaidia matunzo ya huyo mtoto huko ughaibuni?.

Nimeuliza tu lakini.
 
Siku kadhaa zilizopita nimepanda basi nikakutana na kijana moja ambae ndo alikuwa dereva...akatabasamu nikahisi kama alitaka kusema kitu akashindwa..ila the way he looked at me felt like almost he knew me or he knew something about me and i didn't know him...sikujua kama anaongea kiswahili...mm nilikuwa na mwanangu nikamsemesha nikamwambia abonyeze stop..mtoto akafanya hivo basi to my surprise yule mwanaume akaanza kuongea kiswahili usisahau nipo ughaibuni..Since then sikuweza kumtoa kichwani its like i have a crush on him na hata simjui...
Siku nyingine nikakutana nae tena..akanisalimia habari nikamjibu lkn sikuweza kusema chochote zaidi ya kwenda kukaa kwenye siti yangu..well wat happened is tht alikosea kuendesha buss kwenye route alokuwa akitakiwa aendeshe ikabidi aambiwe mbona unakoenda siko akasema samahani nimesahau..akazungumza lugha moja ya kigeni ambayo sio ya nchi hii nilokuwepo...na ofcoz sijawahi kumuona hapa before nahisi ni mgeni...sijui hata nimuapproach vipi coz nikimuona napata ganzi..na kila nikikutana nae ni kwenye basi sipati nafasi ya kuongea nae..in 27 years of my life this is the second time i feel this way..PLEASE HELP SITAKI KUFA NA TAI SHINGONI!!:biggrin:


Umri wako tafadhali ili usaidiwe. Lkn nahisi hicho kilichokupata ni infatuation!
 
Kuwa bold, as u enter the bus au wakati unashuka omba namba yake, if he is interested atakupa yake. Then see how it goes maana unaweza ukawa na butterflies for nothing kumbe is a major disappointment au akawa a great guy gorgeousmimi
 
Last edited by a moderator:
andika namba mpe akutafute-simple-na zungumza nae kiswahili
 
Back
Top Bottom