Msaada sipokei baadhi ya sms

Msaada sipokei baadhi ya sms

concious mind

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
1,031
Reaction score
668
Habari wakuu, natumia tecno w3 LTE, mtandao halotel na airtel, kuna baadhi ya sms nikitumiwa hazifiki ni kama kwa wiki mbili hivi na kwa yule aliyetuma zinaonyesha zipo delivered.
Nahisi shida ni simu coz nilipoanza kuitumia hii ndo majanga yakaanza, msaada wakuu
 
Back
Top Bottom