Msaada sina mtoto mpaka sasa

Msaada sina mtoto mpaka sasa

akuloge unanini. Mpeleke mkeo kwa hospital nitatizo dogo. Mke mjamzito ni kama yai ya maisha plus
 
Mi ni mwanaume Mimba zangu zote ninazompa mke wangu zinatoka nahis nimefanyiziwa na mwanamke ambaye nimewahi kutembea nae kabla sijao nifanyeje. mimba 4 zmetoka sielewi au nimelogwa.! NIMEFANYIZIWA MWANAMKE MIMBA ZOTE ZINATOKA USHAURI WAKO

Ni kitu gani kilichokupa hisia kuwa anayesababisha hayo ni ex wako!!!?

Je, mshaenda kwa tabibu kujua tatizo ni nini hasa!!?

Je, unaamini kama Mungu ndiye muweza wa yote!?
 
kuna sababu kadhaa ambazo zinasababisha
  1. muulize mkeo kama alishawahi kutumia njia yoyote ile ya kuzuia mimba kabla hamjaoana
  2. Vipi mnatumia pombe wote wawili? kama jibu ni ndiyo basi mkeo asitumie kabisa kilevi miezi minne ya kwanza baada ya kupata mimba.
  3. Mkeo akiugua kipindi ana mimaba asinywe dawa yoyote ile mpaka apate ushauri wa daktari maana kuna dawa zinasababisha mimba kutoka.
  4. Mkeo asinywe kabisa chai ya rangi. majani ya chai yanatoa mimba.
  5. Mkeo mimba anazopata nyingi zinaonekana zinatunga nje ya tumbo la uzazi hivyo kutoka ni rahisi. Mimba hizi nyingi zinaoneka zinatunga kwenye mirija ya Fallopian.
  6. Mkeo yawezekana amewahi kupata magonjwa ya zinaa hasa "Chlamydia" na hivyo kupata kitu inaitwa kitaalamu "Pelvic Inflammatory Diseases" (PID) ambayo inaweza kusababisha mimba kutoka na hata utasa kwa mwanamke ikiwa haitapata tiba kwa muda mwafaka. Ungonjwa huu unatibika hivyo wahi kumwona daktari mapema.
  7. Yawezekana pia kuna "chromosomal abnormalities" hivyo kufanya vipimo husika hospitali vitasaidia kubaini tatizo hilo.
  8. Ukipata matatizo usikimbilie kwa waganga wa kienyeji.
  9. Mwanaume jaribu kula sana mboga zilizoungwa viungo vya asili kama karanga, ufuta na tangawizi kwa wingi.
  10. Acha michepuko

Pia yawezekana mke wake ametoa mimba siku za ujana wake mpaka kizazi kimelegea kikawa mdebwedo
 
Mi ni mwanaume Mimba zangu zote ninazompa mke wangu zinatoka nahisi nimefanyiziwa na mwanamke ambaye nimewahi kutembea nae kabla sijaoa.

Nifanyeje? mimba nne zimetoka sielewi au nimelogwa.

NIMEFANYIZIWA MWANAMKE MIMBA ZOTE ZINATOKA.

USHAURI WAKO.

we mshirikina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom