Msaada sina mtoto mpaka sasa

Msaada sina mtoto mpaka sasa

Usiwe na wasiwasi tatizo Hilo lilimpata ndugu yangu tena yeye alipoteza miezi 8 mara tatu ushauri. Nenda kamuine daktari bingwa wanawake pili mpumzishe mkeo wakati wa ujauzito punguzeni mikeketo wakati wa ujauzito nadhani doctor Mwaka atakusaidia sana tatizo lako nenda
 
Pia maisha sio mtoto wala usife moyo wako wengi tu hawana watoto na wanainjoi tu. Hata shambani sio kila mmea unazaa so take it easy mate
 
Mi huwa naona ngumu sana kumshauri mtu ambae anawaza kurogwa
pole nenda kwa mganga ukapige ramli akupe na hirizi uvae kiunoni na shingoni
 
Pia maisha sio mtoto wala usife moyo wako wengi tu hawana watoto na wanainjoi tu. Hata shambani sio kila mmea unazaa so take it easy mate
Mmmh labda wanapretend kuenjoy ila hakuna hiyo kitu aseee nakataaa
 
Usiwe na wasiwasi tatizo Hilo lilimpata ndugu yangu tena yeye alipoteza miezi 8 mara tatu ushauri. Nenda kamuine daktari bingwa wanawake pili mpumzishe mkeo wakati wa ujauzito punguzeni mikeketo wakati wa ujauzito nadhani doctor Mwaka atakusaidia sana tatizo lako nenda

jina lako na ushaur Wako vinalandana
 
Mi ni mwanaume Mimba zangu zote ninazompa mke wangu zinatoka nahisi nimefanyiziwa na mwanamke ambaye nimewahi kutembea nae kabla sijaoa. Nifanyeje?
Mimba nne zimetoka sielewi au nimelogwa.

USHAURI WAKO.

Nenda Hindumandal kuna gynae mzuri anaitwa dr.Mashavu.u will not regret.pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom