Msaada sina mtoto mpaka sasa

Msaada sina mtoto mpaka sasa

Uchawi upo...ila kuna njia za kujikinga...Kuna dua hii nakufundisha uisome wakati unaaza kumuingilia mkeo......"Ewe Mola wetu Tunajikinga kwako na shetani katika tendo letu hili...na tunamkinga na shetani pia yule utae tubariki katika tendo letu hili".....Insha-Allah Mwenyezi Mungu ataisimamisha mimba hio.....
 
Ina maana sister anasikiliza maongezi ya wakubwa? Think hommie think

kuishi uswahilini shida....watu wanafanya mazungumzo kwenye dirisha langu nami nitafanyaje...nabidi tu nisikilize maongezi yao.....
 
Hahahaa yaani umefanikiwa kunivunja mbavu ngoja niombe mwongozo

Cc Mtambuzi Asprin

Mwongozo ni huu.

Hata Petro alimkana Yesu mara tatu lakini bado alikabidhiwa Kanisa.

Wanaokikana chama ndo wenye mapenzi makuu na chama.

Think cheaman, stuka!!!

source: Wasira.
 
Last edited by a moderator:
kuna sababu kadhaa ambazo zinasababisha
  1. muulize mkeo kama alishawahi kutumia njia yoyote ile ya kuzuia mimba kabla hamjaoana
  2. Vipi mnatumia pombe wote wawili? kama jibu ni ndiyo basi mkeo asitumie kabisa kilevi miezi minne ya kwanza baada ya kupata mimba.
  3. Mkeo akiugua kipindi ana mimaba asinywe dawa yoyote ile mpaka apate ushauri wa daktari maana kuna dawa zinasababisha mimba kutoka.
  4. Mkeo asinywe kabisa chai ya rangi. majani ya chai yanatoa mimba.
  5. Mkeo mimba anazopata nyingi zinaonekana zinatunga nje ya tumbo la uzazi hivyo kutoka ni rahisi. Mimba hizi nyingi zinaoneka zinatunga kwenye mirija ya Fallopian.
  6. Mkeo yawezekana amewahi kupata magonjwa ya zinaa hasa "Chlamydia" na hivyo kupata kitu inaitwa kitaalamu "Pelvic Inflammatory Diseases" (PID) ambayo inaweza kusababisha mimba kutoka na hata utasa kwa mwanamke ikiwa haitapata tiba kwa muda mwafaka. Ungonjwa huu unatibika hivyo wahi kumwona daktari mapema.
  7. Yawezekana pia kuna "chromosomal abnormalities" hivyo kufanya vipimo husika hospitali vitasaidia kubaini tatizo hilo.
  8. Ukipata matatizo usikimbilie kwa waganga wa kienyeji.
  9. Mwanaume jaribu kula sana mboga zilizoungwa viungo vya asili kama karanga, ufuta na tangawizi kwa wingi.
  10. Acha michepuko

Mkuu safi kwa ushauri mzuri.

Namba ya mwisho inahusiana vipi na tatizo la mke wake mimba kutoka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom