Left back-gunner
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 572
- 234
Uchawi upo...ila kuna njia za kujikinga...Kuna dua hii nakufundisha uisome wakati unaaza kumuingilia mkeo......"Ewe Mola wetu Tunajikinga kwako na shetani katika tendo letu hili...na tunamkinga na shetani pia yule utae tubariki katika tendo letu hili".....Insha-Allah Mwenyezi Mungu ataisimamisha mimba hio.....