wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Yaani cm yangu kama kuna video ina play nusu inastaki haiendelei tena labda nianze tena upya ikiplay ikafika kipande kile kile inasimama tena.
Na sio video hiyo hivyo tuu ni kila video nitakayo play.kwa mfano kama instagram ndo kabisaa niifurahii kabisa inafunguka kidogo tuu ikishatulia ndio imegoma labda nisogeze video nyingine na hiyo bido nayo ni hivyo hivyo.je!ni shida ya cm yangu au ni mtandao?
Na sio video hiyo hivyo tuu ni kila video nitakayo play.kwa mfano kama instagram ndo kabisaa niifurahii kabisa inafunguka kidogo tuu ikishatulia ndio imegoma labda nisogeze video nyingine na hiyo bido nayo ni hivyo hivyo.je!ni shida ya cm yangu au ni mtandao?