Habari wana jf wenzangu! Naombeni msaada ninatumia cm aina ya lg lakini nashangaa tangia Jana nikizima data inajiwasha yenyewe pamoja na Wi-Fi zinawaka kwa pamoja alafu Mara kuna matangazo ya apps yanajitokeza kwa wingi sijui tatizo nini, maomba mwenye ujuzi na mambo ya cm anisaidie