ntule
Senior Member
- Feb 18, 2014
- 105
- 29
Wadau wa Jf ,nina mtoto wa kike kamaliza darasa la saba , sasa wamempaga shule ya kata ,shule yenyewe haifanyi vizur kabisa,na mtoto wangu uwezo wake ni mzuri kiasi ,amepata wastan wa B ,kwa maana ya
Eglish A
Kiswahili A
Hisabati B
Sayansi C
Study's c
Kwa matokeo hayo natamani nipate shule ya govement ya bonding na iwe ya girls. Ambayo ni nzuri ,napendekza mikoa minne ,singida ,arusha, moshi, na manyara ,au dodoma pia ,mm nipo manyara ,babati mjini,
Nisaidie kujua shule nzuri na kuweza kumpeleka mtoto ,maana hata yeye anasema baba mm nataka kusoma sana lakin nitafutie shule nzuri ya bonding, shule aliye chaguliwa ni ya day ,kata, Asante mwenye kufahamu shule nzuri anisaidie jina la shule ,kama unamawasiliano ya shule husika pia nitashukuru sana ,
Eglish A
Kiswahili A
Hisabati B
Sayansi C
Study's c
Kwa matokeo hayo natamani nipate shule ya govement ya bonding na iwe ya girls. Ambayo ni nzuri ,napendekza mikoa minne ,singida ,arusha, moshi, na manyara ,au dodoma pia ,mm nipo manyara ,babati mjini,
Nisaidie kujua shule nzuri na kuweza kumpeleka mtoto ,maana hata yeye anasema baba mm nataka kusoma sana lakin nitafutie shule nzuri ya bonding, shule aliye chaguliwa ni ya day ,kata, Asante mwenye kufahamu shule nzuri anisaidie jina la shule ,kama unamawasiliano ya shule husika pia nitashukuru sana ,