Msaada Samsung note 1 ipo slow sana

Kiwangwa Son

Senior Member
Nov 29, 2018
178
115
Wakuu habari za muda huu, naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu inasumbua sana yani ni nzito kiasi ambacho hata kufungua files ina delay kwa muda ndio ifunguke natamani kuivunja.

Kutokana na bajeti yangu nikaona ninunue hii simu angalau lakini imekua mzigo labda sijui ni kwa sababu ya zamani sana
Nimeshawahi kuireset mara mbili nikaireboot kwa kutumia njia za kuminya buttons ila bado.

Hapa nafikiria kui flash sijui kama itasaidia au naombeni msaada wakuu.
 
Wakuu habari za muda huu, naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu inasumbua sana yani ni nzito kiasi ambacho hata kufungua files ina delay kwa muda ndio ifunguke natamani kuivunja.
Kutokana na bajeti yangu nikaona ninunue hii simu angalau lakini imekua mzigo labda sijui ni kwa sababu ya zamani sana
Nimeshawahi kuireset mara mbili nikaireboot kwa kutumia njia za kuminya buttons ila bado.
Hapa nafikiria kui flash sijui kama itasaidia au naombeni msaada wakuu.
Cha muhimu ni kuiflash.... baada ya hapo root simu kisha tafuta app inayoitwa Greenify. Itakusaidia kufanya simu yako iwe nyepesi
 
Wakuu habari za muda huu, naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu inasumbua sana yani ni nzito kiasi ambacho hata kufungua files ina delay kwa muda ndio ifunguke natamani kuivunja.
Kutokana na bajeti yangu nikaona ninunue hii simu angalau lakini imekua mzigo labda sijui ni kwa sababu ya zamani sana
Nimeshawahi kuireset mara mbili nikaireboot kwa kutumia njia za kuminya buttons ila bado.
Hapa nafikiria kui flash sijui kama itasaidia au naombeni msaada wakuu.

Mkuu hiyo simu imepitwa sana na wakati...nakushauri utafute hela ununue nyingine.

Note 1 nadhani ilitoka back in 2011...that's way too long
 
Wakuu habari za muda huu, naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu inasumbua sana yani ni nzito kiasi ambacho hata kufungua files ina delay kwa muda ndio ifunguke natamani kuivunja.
Kutokana na bajeti yangu nikaona ninunue hii simu angalau lakini imekua mzigo labda sijui ni kwa sababu ya zamani sana
Nimeshawahi kuireset mara mbili nikaireboot kwa kutumia njia za kuminya buttons ila bado.
Hapa nafikiria kui flash sijui kama itasaidia au naombeni msaada wakuu.
Hadi kuandika msg ipo slow?

Simu ikianza kufa internal storage kila kitu kinakuwa slow.
 
Wakuu habari za muda huu, naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu inasumbua sana yani ni nzito kiasi ambacho hata kufungua files ina delay kwa muda ndio ifunguke natamani kuivunja.
Kutokana na bajeti yangu nikaona ninunue hii simu angalau lakini imekua mzigo labda sijui ni kwa sababu ya zamani sana
Nimeshawahi kuireset mara mbili nikaireboot kwa kutumia njia za kuminya buttons ila bado.
Hapa nafikiria kui flash sijui kama itasaidia au naombeni msaada wakuu.
Aiseee wanasubiri kununua note 10... wewe bado upo kwenye note 1....
 
Back
Top Bottom