kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 625
Habari ndugu zangu, mwezi wa sita natarajia kuelekea Zambia, natokea Dar es salaam naomba kujulishwa mambo yafuatayo kwa waliowahi kwenda huko.
1. Gharama za usafiri wa Bus Dsm to Zambia
2. Hali ya usalama huko
3. Mahala salama pa kufikia hapo Lusaka (lodge or guest house nzuri standard)
3. Umbali wa kutokea New Kapilimposhi mpaka Lusaka.
Asanteni na karibuni.
1. Gharama za usafiri wa Bus Dsm to Zambia
2. Hali ya usalama huko
3. Mahala salama pa kufikia hapo Lusaka (lodge or guest house nzuri standard)
3. Umbali wa kutokea New Kapilimposhi mpaka Lusaka.
Asanteni na karibuni.