Msaada safari ya kwenda Sumbawanga

Msaada safari ya kwenda Sumbawanga

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,110
Reaction score
2,786
Hello Gentleman and ladies ,
Nimepanga kwenda Sumbawanga after kwaresma natokea hapa Karibu na Kilimanjaro international airport anayejua barabara ipi nitumie .Kwani Nina shida kubwa sana na nimepata habari msaada nitaupata wilayani Sumbawanga .natakunguliza shukrani waungwana wangu ukiona mwanaume analie ujue yamemkuta .Na kama kuna members wa hapa anayeishi wilayani Sumbawanga please anijulishe kuna swali nilikuwa naomba kumuuliza ,
Best Regards,
Mwenye shida kubwa ,
 
Pole mkuu... mimi niulize hilo swali nitakusaidia hata kukutaftia mwenyeji pia wewe nicheki
 
Nimeshakutumia email via PREVENT MESSENGER MKUU WANGU
 
Karibu sana Swanga, unakuja kwa ajili ya ile kitu maarufu ya huku? Karibu upande bus toka hapo Arusha ulale Mbeya. Asbh ya siku inayofuata panda Ndenjela wahi sa5-6 uko hapa Jangwani stand. Mm ni mwenyeji sana tu hiyo barabara yote toka Tunduma, Mkutano, Mpui, mpaka unafika Swanga.

Niko hapa Kizwitte
 
Panda magari ya Arusha-Mbeya then Sumbawanga au Arusha -Mpanda(Katavi) then Sumbawanga,but ukifika Mbeya magari ya Sumbawanga ni mengi kuliko Mpanda.
Thanks sir ,and God bless you.
 
Mkuu ili ufike bila usumbu na uchovu panda basi la arusha hadi mbeya ukifika mbeya kuna gari nyingi sana za kwenda sumbawanga najua ukiondoka arusha utalala makambako na kesho SAA NNE utakuwa mbeya hapo utaamua uendelee na safari au upumzike maana usafiri wa kwenda sumbawanga mpaka SAA Tisa gari zipo mi nakutakia safari njema
 
Mkuu panda toka apo moshi au arusha to mbeya.unalala keshoake umafika mapema kabisa au kam unaweza wahi bus la majinja apo njia panda kibaha unalipanda ilo linatoka dar saa 12 asbuh saa tano usiku utakuwa swax town.
 
Mkuu panda toka apo moshi au arusha to mbeya.unalala keshoake unapanda bus la nertwork umafika mapema kabisa au kam unaweza wahi bus la majinja apo njia panda kibaha unalipanda ilo linatoka dar saa 12 asbuh saa tano usiku utakuwa swax town.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom