Baba Sangara
JF-Expert Member
- Dec 16, 2007
- 293
- 154
Msaada waheshimiwa...
Waliopita njia hiypo juzi juzi naomba kueleweshwa hali ya barabara na muda wa kusafiri na Landrover...
Mwanza - Kigoma: - Mara ya Mwisho mimi kupita njia hiyo ilikua 1986 ... ilikuwa safari ya siku Mbili... Siku hizi?
Kigoma - Mbeya: Sijawahi... Siku mbili?.... kuna Hoteli nzuri njiani? Uvinza? Mpanda? Sumbawanga
Waliopita njia hiypo juzi juzi naomba kueleweshwa hali ya barabara na muda wa kusafiri na Landrover...
Mwanza - Kigoma: - Mara ya Mwisho mimi kupita njia hiyo ilikua 1986 ... ilikuwa safari ya siku Mbili... Siku hizi?
Kigoma - Mbeya: Sijawahi... Siku mbili?.... kuna Hoteli nzuri njiani? Uvinza? Mpanda? Sumbawanga