panyabuku
Member
- Apr 2, 2012
- 81
- 4
Wadau ninaomba msaada kwani kuna Office ya Clearing and Fowarding natoa support kwa kazi za IT kuna program ya kukuwezesha kuconect na TRA sasa nataka kujua kama kuna software ambayo naweza kuweka kwenye machine yenye program hiyo ili kuzuia mtu aingiapo kufanya kazi za TRA nijue ni kazi ngapi zimefanyika kama nitakuwa sipo maeneo hayo ya kazi au nikipi nifanye bila software kujua hilo maana kuna kazi nyingi zinafanyika ila hakuna faida hapa ofisini na kukosa hata hela ya kujikimu kwan kuna mtu ndiye yupo kuendesha hizo issue za TRA ila kila siku hamna kazi ukifika ofisini ila ukitoka nje customers wanakushukuru huduma nzuri wanazopata ofisini uenda jamaa anatumia TIN yake yeye atumii ya ofisi nataka nijue wadau .
Naomba niwakilishe kwenu wadau kama kuna msaada juu ya hilo .
Naomba niwakilishe kwenu wadau kama kuna msaada juu ya hilo .