Msaada please samsung s5

Msaada please samsung s5

The-unknown

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
1,645
Reaction score
1,877
Kuna wakati sim yangu inazima na hutoa maandishi ya red na green then hadi utoe battery na uiwashe tena ndo iwake irudi kawaida
Mwenye anaejua tatizo ni nini naomba msaada wake
a28396a4c06f96fd5a1a76dee108ac24.jpg

Inaonekana kama hivyo
 
Back
Top Bottom