njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,380
- 5,531
Kiukweli serikali haijaidhinisha viwango vya GPA zinazotakiwa ila ni kasumba ya vyuo vingi vya Tz kama UDSM, UDOM, SUA,DUCE,MUCE, SAUT, RUCU, ST. JOHN, MWENGE, etc. Kutaja vigezo hivyo vya GPA nilivyokuwa nimevitaja hapo awali.
nimekuelewa maana kuza kozi nyingine kama medicine , inijinia.. kupata hayo ma GPA makubwa ni kazi sana