Msaada pes 2017

Msaada pes 2017

Papushikashi

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
11,343
Reaction score
13,865
Wakuu Nimeingiza game la pes 2017 ila nikitaka kulifungua naandikiwa " Unable to initiate stream Api" msaada tafadhari kwa mwenye kujua jinsi ya ku fix tatizo hili.
Natanguliza shukrani
 
Inistallation video yake kama hujaidownload nenda kaidownload kisha fuata maelekezo yake
 
15c413efbc46c06cdabe9938060b3d7a.jpg
vipi ulidownload na hilo file la pili hapo chini
 
Jalibu kudownlod na hilo file la pili mana ndo linafix hizo error
 
Usipate tabu tar1 Jan 2017 litaplay vizuri. Umewahi kabla ya muda kufika.
 
mkuu ni steam au stream? kama ni steam ni zile .dll za steam zinazingua. halina folder la crack hilo game ambalo ndani kuna dll za steam?
Mkuu limekubali kwa kudownload kwa kuziingiza hizo kutoka pale pale ocean of game, ila naomba unisaidie kitu kimoja.. Pc yangu nilikuwa nimeipiga window 7, ilikuwa inacheza magame vizuri ila baada ya kupiga window 10 magame yaleyale yote yanascrach sana siwezi kabisa kuyacheza, . Msaada tafadhari
 
Mkuu limekubali kwa kudownload kwa kuziingiza hizo kutoka pale pale ocean of game, ila naomba unisaidie kitu kimoja.. Pc yangu nilikuwa nimeipiga window 7, ilikuwa inacheza magame vizuri ila baada ya kupiga window 10 magame yaleyale yote yanascrach sana siwezi kabisa kuyacheza, . Msaada tafadhari
hapo inawezekana
1. huna driver za graphics,
2. games unacheza kwenye resolution kubwa

una computer gani? ina cpu gani?
 
hapo inawezekana
1. huna driver za graphics,
2. games unacheza kwenye resolution kubwa

una computer gani? ina cpu gani?
Kwahiyo nifanyeje hapo maana nimeweka kwenye resolution ndogo lakini bado
 
unaona sasa hapo gpu yako haionekani kama ni ya intel bali inatokea basic render, hio desktop haina dedicated gpu? angalia kwa nyuma uone kama ipo kama hamna nenda device manager halafu right click display adapter utakayokuta then chagua update driver
 
unaona sasa hapo gpu yako haionekani kama ni ya intel bali inatokea basic render, hio desktop haina dedicated gpu? angalia kwa nyuma uone kama ipo kama hamna nenda device manager halafu right click display adapter utakayokuta then chagua update driver
Mkuu samahani, nyuma ya pc naangaliaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom