ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,230
- 6,470
Pc yangu imezima ghafla na kujiwasha,mara tu baada ya kuwaka imepoteza sauti na kuweka alama X ile sehem ya kuongezea sauti,hii ni baada ya kumpa dogo atumie,then dogo alichomeka waya flan hiv wa umeme ile sehem ya kuwekea earphones,Nmejaribu kupeleka kwa mafundi wakadai ni tatizo la software so wakashusha window,ila bado tatizo halikuisha.
Je shida itakuwa ni nini wakuu??
Je shida itakuwa ni nini wakuu??