Msaada-paypal

eebana ufanyeje credit mpaka ukaweza kulink hiyo card yako
 
 
Mkuu mi naongea vitu ambavyo ninavifanya kila siku baada ya kununua kitu mtandaoni kwa kutumia paypal,watakutumia electronic receipt so wewe soma ile receipt imeandikwa wamekata asi;imia ngapi maana kila kitu kipo wazi kabisa alafu check balance ya pesa zako ni sh ngapi coz paypal huwa hawafanyi kazi za bure bure
 
eti usipotumia paypal ukinunua kitu online na tembo visa card yako ya Tshs inakubalika??
 
eti usipotumia paypal ukinunua kitu online na tembo visa card yako ya Tshs inakubalika??
Inakubalika ili mradi kiasi kilichopo kwenye akaunti kisipungue kiasi cha kitu unachonunua kwani kuna currency convetor inayobadili kiwango chochote cha fedha dunia kwenda kwenye dola ,paund au euro kutokana na kitu kinauzwa kikiwa kwenye currency gani
 
Wakuu msaada wenu!

Nemefuata procedures zote za kujiunga na paypal, tatizo linakuja kwenye confirmation ya account yangu. Kwani leo ni siku ya 6 bado sijaziona zile 4 digits kwenye bank statement yangu. Kwani kwa kawaida inachukua siku ngapi ili four digits ziwe reflected kwenye bank statement yako.
mi ninatumia internet banking ku view account yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…