Gospel Preacher
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 233
- 263
Habari zenu ndugu zangu, naomba msaada namna ya ku secure i pad ambayo password zake zimesahaulika kwenye upande wa iClaud naomba kujulishwa namna bora ya kufanikiwa...maana siwezi kupakua chochote
Wataalam wa haya makitu nisaidieni
Wataalam wa haya makitu nisaidieni