Msaada: Odometer na fuel gauge hazifanyi kazi

Danp36

JF-Expert Member
Jul 31, 2010
2,097
920
Habari wana jamvi ,


Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,

Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.

Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani namba hazisogei kabisa zimebaki pale pale .

Msaada wa mawazo nijue ABC ya tatizo kabla sijaenda kwa fundi.


Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom