Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Kweli we ni Hivi punde.
Kweli we ni Hivi punde.
Nimeshamwaga mafuta ndani
Wa Daslamu mama.Yaani it doesnt make sense anakaa sehem anatype nyoka yumo ndani huyu ni mwanaume na kichwa cha familia aisee alichopaswa kufanya angetafta namna ya kumkabili nyoka akishamuua aaandike tu kama maelezo na jinsi alivyoweza kua shujaa kunusur familia
Hii ni ushauri Wa kufeli kabisa,nadhani huyo nyoka atatoka aache mji Wa watu kwa maombi mazito.Inaweza pia ikawa mazingara hayo. Pamoja na kufanya hayo mengine, kama ni Mkristo, vunja kila roho na mashambulizi yeyote kwa jina la Yesu. Kama huwezi ita majirani pia wanaloamini Jina la Yesu
Washa kibiriti sasa aondoke upumzike Mkuu.Nimeshamwaga mafuta ndani