MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.
vip nyoka wa jana mlimalizanaje mkuu?
 
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.

Mtafute Adam na Hawa wakusaidie Kukuulia kwani hao Wawili na Nyoka wana ushirikiano tokea katika Bustani ya Aden huko Mbinguni kabla ' hawajamtibua ' Mwenyezi Mungu.
 
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.
Mpuuzi wewe, jf ifanyeje na huyo nyoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom